Friday, April 23, 2010


jinsi ilivvyokuwa siku ametimba nchini mwanamuziki kutoka nchini Nigeria J.martins katika ofisi za kampuni ya simu ya zain-Tanzania maeneo ya kijitonyama jijini Dar es saalam.

NMB YAWAKA MOTO



 moto ulizuka muda mfupi katika tawi la benki ya NMB samora umefanikiwa kudhibitiwa kabla ya kulete athari kubwa kwa watu na mali katika maeneo hayo.

hebu cheki na ROGER THAT-YOUNG MONEY

Quantcast

Thursday, April 22, 2010

MASHAIRI YA ROGER THAT BY YOUNG MONEY


Roger That lyrics
by Young Money

{Nicki}
I'm in the collard green 6, cornbread in the guts.
Got da Halloween kicks trick or treatin the clutch.
Come on nigga is you trickin or what?
Flo-fl-flow tighter than a d..k in the b..t.
Just hopped off da plane, came back from Vancouv'
Little white tee, some boobs, and bamboo.
White girls tell me, "hey Nicki, your camp rules.
Is that why you get more head than shampoos?"
Asalaamalaikum, no oink for me.
And I never let a D-boy boink for free.
'Cause its barbie bitch, you can join the wave.
I done penny, nickel, dimed, I done coined da phrase.
You couldn' beat me there if you had a Leer.
Indian-style court side wit a cavalier
VIP Roseau's you can have a beer.
'Cause honey when you gettin money you don't have a care.

Now r-roger that, r-r-roger that. R-roger that, r-r-r-roger that. R-roger that, r-r-roger that....................Roger.


{Tyga}

Young black Rico's.
Kill for da C notes.
But me though,
I jack son bitch Tito
She wanna play games,
But this is not bingo.
Monopoly I'm past "GO"
Gon' ahead and deep-throat.
4-chick Foursomes,
Skin colors mocha.
Sally and Sonia put the pussies on my Totem.
Pole.
Watt stroke 'em,
Strike it like bowlin.
Now open like you yawnin'.
Its 6 in the mornin.
Slee-Sleepin on me probably in a coffin.
I'm hotter than the end of fuckin' August,
I'm awesome.
I'm awesome. Repeat it to ya Grandma and Uncles, my Mothers
Tyga's no Dad but I'm the muhfucka.
My fucka's,
This the last supper.
Look, no hands,
I'm a bread cuffer.
I dont dare lover,
I'm a dare devil
I don't fear nothin'.
Muhfucka,
YOUNG MONEY!

Now roger that. Roger that. Ro-Roger that. Roger that. Fuck around and never get Roger back.

{Wayne}

(I'm goin' in!)

Fresh off the jet, sharper than Gillette.
The blunt still wet, so pass it like bread.
We sip side a mug, we call it upset.
Smoke more than 4 quarters, we call it sudden debt.
I'm a beast.
You a pet.
AK long neck.
Keith Sweat.
Weezy, muthafucka.
Capo in this bitch wit me.
Money talks and have a convo in this bitch wit me.
I'm mountain high Colorado in this bitch wit me.
Flow crazy. 730, you just 650.
20 bullets from the Chopper take the roof off.
Laughin to the bank,
I'm a goof ball.
It's YM.
And we at yo neck like a Violin.
It's our world.
We make it spin.
And y'all the prey..Amen.
Now roger that. Roger that. Where Roger at? I heard Rog' a Rat.
Fuc-Fuck around and never get Roger back.

NI KWA KIASI GANI GHANA IMEMMISI MICHAEL ESSIEN

kiungo wa kimataifa wa timu ya chelsea na Ghana amekosa karibia nusu ya msimu katika ligi kuu ya uingereza na ameshindwa kuiwakilisha timu yake ya taifa katika michezo mbalimbali lakini wachambuzi wa soka wanaangalia uimara wa sehemu ya kiungo katika timu ya taifa ya Ghana pasipo kuwepo na wazoefu kama michael essien,sulley muntari,lalley kingson na mkongwe stephen appiah..swali ni je,Ghana itaweza pasipo kuwa na wazoefu hawa..?

FERGUSON AKANUSHA KUSTAAFU

kocha wa timu ya manchester united ya England amekanusha uvumi uliokuwa umeenea kwa kusema kwamba hataondoka katika kikosi hicho mwishoni mwa msimu wa 2009/2010.hizo ni habari njema kwa ma-fans wa timu hiyo coz that he came along with manchester even in bad moment...!

Liverpool chaliii ...!

ebana wale mashabiki wa Liverpool" THE REDS" wameumia kw usiku wa jana soon baada mshambuliaji galacha kutoka timu ya Atletico d'madrid ya spain kufunga goli katika nusu fainali ya kwanza iliyochezwa katika jiji la madrid,spain kupitia kwa Diego Forlan..mashabiki wanaoaminika kuwa na mzuka wa Liverpool wanasikitishwa na mwenendo mbovu wa timu hiyolakini manager wa timu hiyo Rafael Benitez amewaambia watulie kwani Liverpool ni timu bora na watatinga katika hatua inayofuata.

LIONELL MESSI ASHINDWA KUFURUKUTA

mwanasoka bora kabisa kwa sasa katika dunia ya soka Lionel messi jumanne hii ameshindwa kabisa kuwanyanyua mashabiki wa timu yake ya Barcelona ilipokuwa inakipiga na Inter milan ya Italia katika dimba la Giussepe meazza.katika mechi hiyo iliyomalizika kwa wenyeji Inter milan kushinda kwa jumla ya mabao 3-1..magoli ya Inter milan yalifungwa na Diego milito,wesley sneijder na douglas maicon wakati bao la Barcelona liliwekwa kimiani na pedro rodreguez kiungo wa kimataifa wa spain

MSAALA MZITO KWA ROMA

mkaka anayekimbiza katika game na ji-songi lake la mr.president anyekwenda kwa jina la rythm of magical attraction(ROMA) kutoka katika jiji la Tanga,amekumbwa na mkasa wa kiukweli hadi kufikishwa kituo cha polisi kwa mahojiano zaidi..
 jamaa anatuhumiwa kupita na LAPTOP ya mshikaji wake ambaye anapiga shule katika chuo kikuu cha Dar es saalam,
 lakini roma amekanusha tuhuma hizo na kudai kuwa yeye hana tabia kama hizo coz amelelewa katika mazingira yenye tabia pooa...hope utaumaliza msala bra na uendelee kusanua na ma-songi mengine kama hayo .......!

DULLY NAYE AKISANUA KILI MUSIC AWARDS

mwanamuziki dully sykes amefuata mkumbo wa wasani kibao ambao nao walitangaza kutoshiriki kabisa katika tuzo za kilimanjaro music awards zinazotarajiwa kufanyika mwezi wa 5 mwaka huu.
       hayo ameyasema alipokuwa akizungumza na kituo cha redio cha jijini Dar es saalam,,,so bra watz ur plan for the other awards that u have been elected as a nominee...?