Wednesday, May 12, 2010
Ronaldinho out Brazil
kikosi cha brazil kimetangazwa huku jina la mchezaji bora wa dunia mwaka 2006 Ronaldinho Gaucho likikosekana
TID adai kupigwa na Hasheem
The most celebrity in bongo H asheem Thabit, jamaa inasemekana kampa nakoz kijana wa Dar es saalam Tid...hiyo ni kwa mujibu wa BLOG yake TID mwenyewe..so ili kujiua zaidi mcheki TID kupitia site yake ya www.topbandtz.blogspot.com.
sean kingstone kukisanua katika killi awards
sean kingstone ndiye msanii atakayesababisha burudani ya kutosha kwa watanzania ambao watahudhuria sherehe za utoaji wa tuzo za kilimanjaro music awards,kiingilio kwa tiketi za awali ni sh 15000 za kitanzania.
Subscribe to:
Posts (Atom)