Wednesday, May 12, 2010

Ronaldinho out Brazil

kikosi cha brazil kimetangazwa huku jina la mchezaji bora wa dunia mwaka 2006 Ronaldinho Gaucho likikosekana

TID adai kupigwa na Hasheem

The most celebrity in bongo H asheem Thabit, jamaa inasemekana kampa nakoz kijana wa Dar es saalam Tid...hiyo ni kwa mujibu wa BLOG yake TID mwenyewe..so ili kujiua zaidi mcheki TID kupitia site yake ya www.topbandtz.blogspot.com.

1. AY. 2. Fid Q. 3. Joh Makini. 4. Marlow. 5. African Stars – Twanga Pepeta. 6. Mwansiti. 7. Lady Jaydee. 8. Mzee Yusuph na Offside Trick 9. Wahapahapa 10. Ali Kiba

sean kingstone kukisanua katika killi awards

sean kingstone ndiye msanii atakayesababisha burudani ya kutosha kwa  watanzania ambao watahudhuria sherehe za utoaji wa tuzo za kilimanjaro music awards,kiingilio kwa tiketi za awali ni sh 15000 za kitanzania.

50 Cent - So Disrespectful

Ludacris - My Chick Bad ft. Nicki Minaj

Nas ft Damian Marley - As We Enter (Lyrics + Download) NOT BLOCKED