Thursday, April 22, 2010

EBANA KITU CHA TANZANIA

hii ni bendera ya taifa la Tanzania

ebana umeyaona yaliyo msibu Gerald

ebana haya ni masahibu yaliyo mkumba msakata kabumbu anayekipiga na klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya Uingereza Steven Gerald.....umeinyaka kwa mara ya kwanza kupitia hapahapa kwa wajanja.

VITA HATA KWA AK 47

INSU NI KU-FIGHT MWANZO MWISHO HADI HAYA MAISHA TUYAPATIE