Saturday, October 23, 2010
ALICIA KEYZ APATA MTOTO WA KIUME
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Alicia Keys amejifungua mtoto wa kiume..mwanamuziki huyo kwa sasa anatoka na mtayarishaji na mwanamuziki Swizz Beatz baada ya kuachana na aliyekuwa mkewe Mashonda...
MWISHO KARIBU TENA HOME
Jamaa anaitwa mwisho mwampamba,,ni mshiriki wa big brother all star 2010..alifika hadi katika tano bora lakini akatoka na UTI kutuka Nigeria akaondoka na mpunga mrefu kutoka kwa waandaaji....picha ina muonyesha akiwa uwanja wa ndege wa mwl j.k nyerere Dar es saalam akipokewa na ndugu jamaa na marafiki zakeee...HONGERAAAA BROO...kwa kuitangaza nchi yetu...!11
ALIKIBA KUPIGA SHOW ZA NJE
Jamaa ni mkilii vibaya katika muziki wa kibongo...anafanya vizuri hadi nje, na kwa sasa ana program yake ya kwenda kufanya show nje ya bara la Africa...
Subscribe to:
Posts (Atom)