Saturday, November 6, 2010

ALLY MURSALINA APATA SHAVU...

Jamaa ni kiongozi pale big level entertainment,anapiga mzigo kama mmoja wa waanzilishi wa group hiyo na mpaka sasa anapiga mzigo hapo...keep it up brraada....

RICK ROSS AONGEZEKA UNENE...??????

Jamaa anaitwa  RICK ROSS au THE TEFFLON DON ,,,picha za karibuni zinamuonesha akiwa kaongezeka unene saana...katika picha yuko na jay z akila bata huku akivuta mkanda....

SUGU MPANGO MZIMA PALE MJENGONI

joseph mbilinyi a.k.a mr 2,,sugu amechaguliwa na wananchi wa jimbo la mbeya mjini kuwa mbunge wa jimbo hilo kwa kipindi cha miaka 5 ijayo...jamaa kawataka wana mbeya kuwa kitu kimoja katika kuleta maendeleo jijini mbeya,, hongera SUGU..

Ricky Loose Some Weight??!

Ricky Loose Some Weight??!

DIAMOND APATA SHAVU JIPYA..

kijana anayesumbua hapa town kwa song zake nzuri Nassibu Abdull a.k.a diamond amechaguliwa katika tuzo za mtv africa music awards( MAMA)..katika category ya best upcoming act...so tuendelee kumuombea na ku-vote jwa huyu jamaa..kwa sasa yuko uingereza kwa ajili ya michakato ya kimuziki..

RAMA DEE AACHIA KITU KINGINE

Msanii ambaye ni KING of R n B  hapa bongo Rama dee ameachia ngoma yake mpyaa inaitwa MAKE UP...katika ngoma hii kuna vichwa kama G NAKO na PIPI ...HII NI BONGE MOJA LA  NGOMA KUTOKA  KWA RAMA DEE...

Sunday, October 24, 2010


I made this widget at MyFlashFetish.com.


Tue, 30 March, 2010 1:57:15
ETI NI KWELI WAYNE ANAUZA TIKETI KULIKO JIGGER(jay z)
...
From:
martin maranja   
...
Add to Contacts
To:martin maranja

ETI NI KWELI LIL WAYNE ANAUZA TICKET KULIKO JAY Z..

According to sources, Wayne ameuza zaidi ya 40 million on concerts alone.
Wayne grossed 42 million dollars in revenue from concert sales, outselling the Jay-Z and Mary J Blige Tour which grossed 34 million:
Kutoka kwa Producer wa Wayne wa Tour anaefahamika kama Shawn Gee, seventy-eight concerts held in North America from Dec. 14, 2008, through Sept. 6, 2009, grossed approximately $42 million and drew nearly 804,000 fans.
The second highest-grossing rap tour that Billboard has tracked was Jay-Z’s 2008 jaunt with Mary J. Blige, which grossed $34.6 million and drew 310,694 concertgoers to 28 shows, according to Billboard Boxscore. Kanye West’s 2008 Glow In the Dark tour comes in third, having pulled in $30.8 million from 49 concerts that attracted 507,853 fans.

so licha ya kuwa weezy anasemwa vibaya ila anauza na anawapenzi wengi kuliko Jay Z !!
at 9:38 AM

Saturday, October 23, 2010

ALICIA KEYZ APATA MTOTO WA KIUME

Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Alicia Keys amejifungua mtoto wa kiume..mwanamuziki huyo kwa sasa anatoka na mtayarishaji na mwanamuziki  Swizz Beatz baada ya kuachana na aliyekuwa mkewe Mashonda...

MWISHO KARIBU TENA HOME

Jamaa anaitwa mwisho mwampamba,,ni mshiriki wa big brother all star 2010..alifika hadi katika tano bora lakini akatoka na UTI kutuka Nigeria akaondoka na mpunga mrefu kutoka kwa waandaaji....picha ina muonyesha akiwa uwanja wa ndege wa mwl j.k nyerere Dar es saalam akipokewa na ndugu jamaa na marafiki zakeee...HONGERAAAA BROO...kwa kuitangaza nchi yetu...!11

ALIKIBA KUPIGA SHOW ZA NJE

Jamaa ni mkilii vibaya katika muziki wa kibongo...anafanya vizuri hadi nje,  na kwa sasa ana program yake ya kwenda kufanya show nje ya bara la Africa...

Thursday, October 21, 2010

mdogo wangu wa ukweliiiiii.....from specialll zonee......

                                                                paul mau steven
                                                                    eka na maingu...      

EMINEM AFUNIKA KATIKA CATEGORY KIBAO- VMA

EMINEM amechaguliwa katika category 5 za tuzo za muziki za mtv mwaka wa 2010...pia kuna lady gaga,kanye wet,black eyed peas na wasanii kibao...stay na wajanja 4 more info...

Whip My Hair REMIX Ft. Drake, Lil Wayne, Nicki Minaj (DJ SKIDMARC REMIX)

DR.WILBROAD PETER SLAA AENDELEA KUWASHIKA

                                                             SINGIDA
                                                                MWANZA
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA DR.wilbroad peter slaa,ameendelea na kampeni zake katika sehemu mbalimbali nchini na kupata mapokezi mazuri....                                                    

JK AUNGURUMISHA LINDI

                   Mgombea urais kwa tiketi ya c.c.m jana alifunika vibaya baada ya kupokelewa na umati mkubwa wa wananchi wa lindi mjini....

MKALI JOH MAKINI

                                                                            
                  Mcheki katika muonekano mpya huyu jamaa...anaonekana ni real HIPHOP artist...

C PWAA AKAMILISHA VIDEO YAKE YA ACTION





                                                                       
                                                            cow-obama a.k.a ngwair
                                                                   cp na dully sykes
         hizi ni baadhi ya shoots katika video mpya ya c pwaa inaitwa action

Wednesday, October 20, 2010

CHAMELEON NA WAKAZI SHOW IN CHICAGO

CHAMELEON NA WAKAZI SHOW IN CHICAGO: "Dr Jose Chameleone will be rocking the people of Chicago on the Saturday of October 23rd at the Wild Hare Nightclub. Coming from his Canadia..."
                                                     huu ndio mkoko anaoutumia          
                                                       wakazi na jose wata wa rock vibaya..
                                                                                                      

WILLOW SMITH ALIA KATIKA KIPINDI CHA 106& PARK

WILLOW SMITH ALIA KATIKA KIPINDI CHA 106& PARK: "It was a family affair kwa smiths nje ya studio za BET. Will na Jada wakimsindikiza Willow Smith kurecord kipindi cha 106 & park ambapo ali..."                                      

                                                                           

MR 2 APOTEZA VIBAYA MBEYA

Mgombea ubunge jimbo la mbeya mjini kwa tiketi ya chadema,Joseph Mbilinyi a.k.a mr 2 amefanya mkutano wake wa kampeni katika soko la mwanjelwa na kukusanya umati mkubwa wa watu....jamaa ameonekana kupendeka na idadi kubwa ya wananchi wa mbeya mjini.

MNYIKA AFUNIKA VIBAYA SINZA

Mgombea ubunge kwa tiketi ya chadema john mnyika,akihutubia mkutano wa kampeni za ubunge katika jimbo la ubungo jijini Dar es saalam..

AY NA SEAN KINGSTONE KUFANYA COLLABO

Msanii mwenye crown bongo Ambwene Yessaya a.k.a AY yuko nchini kenya kwa ajili ya kupiga show na pia kujianda na safari ya mtoni kufanya collabo na jamaa mkali anaitwa sea kingstone

Saturday, September 4, 2010

DUDE JIPYA KUTOKA KWA AY NA FA

Ebana jamaa wameingia mzigoni kwa hermy b pale B'HITZ MUSIC ma wamedrop pini linakenda kwa jina la DAKIKA MOJA na wamempa  shavu mtu mzima  HARD MAD......so kama vipi isikiliziiiiee...

Wednesday, May 12, 2010

Ronaldinho out Brazil

kikosi cha brazil kimetangazwa huku jina la mchezaji bora wa dunia mwaka 2006 Ronaldinho Gaucho likikosekana

TID adai kupigwa na Hasheem

The most celebrity in bongo H asheem Thabit, jamaa inasemekana kampa nakoz kijana wa Dar es saalam Tid...hiyo ni kwa mujibu wa BLOG yake TID mwenyewe..so ili kujiua zaidi mcheki TID kupitia site yake ya www.topbandtz.blogspot.com.

1. AY. 2. Fid Q. 3. Joh Makini. 4. Marlow. 5. African Stars – Twanga Pepeta. 6. Mwansiti. 7. Lady Jaydee. 8. Mzee Yusuph na Offside Trick 9. Wahapahapa 10. Ali Kiba

sean kingstone kukisanua katika killi awards

sean kingstone ndiye msanii atakayesababisha burudani ya kutosha kwa  watanzania ambao watahudhuria sherehe za utoaji wa tuzo za kilimanjaro music awards,kiingilio kwa tiketi za awali ni sh 15000 za kitanzania.

50 Cent - So Disrespectful

Ludacris - My Chick Bad ft. Nicki Minaj

Nas ft Damian Marley - As We Enter (Lyrics + Download) NOT BLOCKED

Tuesday, May 11, 2010

mtoto wa mbagala anavyokimbiza

kijana anaitwa diamond anakimbiza na ji-song lake kwa jina la mbagala....ebana kijana kalalamika vi-deadly katika song hilo..na video kasha kamilisha na inafanya vizuri sokoni...

hii ni silaha ya hatari jo..!

hii ni silaha ya hatari coz it looks like simu lakini jamaa wameiunda kwa ajili ya kujilinda na maharamia huko hungary...i thought some dayz even Tanzania itafika katika level hizo za kutengeneza vitu kutokana na technology mbalimbali...

unacheki anga kwa down


unacheki anga inavyopendeza ukiwa angani ..kama vipi kwa wale wajanja wa town tuwe na dream za kukwea pipaone day jo..!!

chelsea fc ndio mabingwa wa baclays premier league

Monday, May 10, 2010

The last king of nyaluland-mike T

huyu jamaa ni kati wa maemc wa kiukweli katika game ya muziki wa kibongo...soon anadrop na jiwe linakwenda kwa jina la TJIIBE TUKIWEZA ameligongesha katika studio za B/Hitz & my key....ebana hebu tumpe sapoti ya ukweli THE LAST KING OF NYALULAND.

wanaume TMK wadrop Kenya

jamaa wa Temeke wame-drop nchini kenya ka matamasha matatu ya kiukweli ambayo wamepanga kuweka heshima kwa mashabiki wa kundi hilo kutoka nchini kenya...kundi hilo lina wasanii wanaofanya vizuri kunako game ya bongo flavour...mkono mmoja ya Chegge na Temba pamoja na mambo bado aliyoimba Chegge na laddy jay dee...

mkali kwanza arudi studio

jamaa anaitwa q-jay kutoka kwa wakali kwanza na siku si nyingi ameingiza kitu(wife) ndani...so jamaa ameamua ku-drop studio za mj records zilizoko masaki kwa ajili ya ku-record ngoma kwa jina la NAKUBAMBA chini ya prodyuza marco chaliii..so soon unadrop down na mkali kwanza huyooo.

Nas ft. Damian Marley - As We Are (Snippet) | Audio | Rap Basement

Nas ft. Damian Marley - As We Are (Snippet) | Audio | Rap Basement
ebana sorry 4 missing out the massive story from our site...tulikuwa out kwa matengenezo bt tume-back kwa fujo zote wazeeeeya...i think u guyz gonna enjoy coz site imeboreshwa na kuna hot news ambazo soon tutaza kuzidrop..kama niaje cheki na ngoma hiyo hapo ya Nas ft.Damian marley-As we ar....Enjooooy...!

Sunday, May 2, 2010

TAIFA STARS YABANWA NA AMAVUBI

                                                                       
timu za Tanzania na Rwanda zimetoka sare ya kufungana 1-1 katika mchezo wa kutafuta nafasi ya kushiriki katika mashindano ya CHAN

AY na FA waachia ngoma nyingine

wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Hamisi mwinjuma(FA) na Ambwene Yessaya(Ay) wameachia ngoma inayokwenda kwa jina la usije mjini..wame record kwa hermy B chini ya studio ya B.hitz record..so kama ni fans unaweza kutega sikio ili uipate ngoma hiyo..

Poll: nani mkali kati ya fid q na joh makini

Poll: nanu mkali kati ya juma nature na chegge

ROCK CITY IS ROOOOCKING

jijini mwanza a.k.a rock city abapo panasemekana kuwa ni miongoni mwa miji misafi zaidi nchini Tanzania...kama haujawahi kufika fanya mpango ufike uone fahari ya nci yako.

dondoka langa mtaani

Langa kileo ni mwanamuziki wa HIPHOP bongo na moja kati ya wasanii wa kiukweli..ana masongi kibao mtaani na sasa anakimbiza na song la gangster abalo liko hot vide-deadly,,soon amedondoka na song linalokwenda kwa jina la pesa akimpa shavu bi-dada jay dee..na sasa amendondoka na album mtaani chini ya label yake ya kitaa entertainment..!