kijana anayesumbua hapa town kwa song zake nzuri Nassibu Abdull a.k.a diamond amechaguliwa katika tuzo za mtv africa music awards( MAMA)..katika category ya best upcoming act...so tuendelee kumuombea na ku-vote jwa huyu jamaa..kwa sasa yuko uingereza kwa ajili ya michakato ya kimuziki..
No comments:
Post a Comment