Friday, April 23, 2010

FERGUSON AKANUSHA KUSTAAFU

kocha wa timu ya manchester united ya England amekanusha uvumi uliokuwa umeenea kwa kusema kwamba hataondoka katika kikosi hicho mwishoni mwa msimu wa 2009/2010.hizo ni habari njema kwa ma-fans wa timu hiyo coz that he came along with manchester even in bad moment...!

No comments: