Wednesday, May 12, 2010
Ronaldinho out Brazil
kikosi cha brazil kimetangazwa huku jina la mchezaji bora wa dunia mwaka 2006 Ronaldinho Gaucho likikosekana
TID adai kupigwa na Hasheem
The most celebrity in bongo H asheem Thabit, jamaa inasemekana kampa nakoz kijana wa Dar es saalam Tid...hiyo ni kwa mujibu wa BLOG yake TID mwenyewe..so ili kujiua zaidi mcheki TID kupitia site yake ya www.topbandtz.blogspot.com.
sean kingstone kukisanua katika killi awards
sean kingstone ndiye msanii atakayesababisha burudani ya kutosha kwa watanzania ambao watahudhuria sherehe za utoaji wa tuzo za kilimanjaro music awards,kiingilio kwa tiketi za awali ni sh 15000 za kitanzania.
Tuesday, May 11, 2010
mtoto wa mbagala anavyokimbiza
kijana anaitwa diamond anakimbiza na ji-song lake kwa jina la mbagala....ebana kijana kalalamika vi-deadly katika song hilo..na video kasha kamilisha na inafanya vizuri sokoni...
hii ni silaha ya hatari jo..!
hii ni silaha ya hatari coz it looks like simu lakini jamaa wameiunda kwa ajili ya kujilinda na maharamia huko hungary...i thought some dayz even Tanzania itafika katika level hizo za kutengeneza vitu kutokana na technology mbalimbali...
unacheki anga kwa down
Monday, May 10, 2010
The last king of nyaluland-mike T
huyu jamaa ni kati wa maemc wa kiukweli katika game ya muziki wa kibongo...soon anadrop na jiwe linakwenda kwa jina la TJIIBE TUKIWEZA ameligongesha katika studio za B/Hitz & my key....ebana hebu tumpe sapoti ya ukweli THE LAST KING OF NYALULAND.
wanaume TMK wadrop Kenya
jamaa wa Temeke wame-drop nchini kenya ka matamasha matatu ya kiukweli ambayo wamepanga kuweka heshima kwa mashabiki wa kundi hilo kutoka nchini kenya...kundi hilo lina wasanii wanaofanya vizuri kunako game ya bongo flavour...mkono mmoja ya Chegge na Temba pamoja na mambo bado aliyoimba Chegge na laddy jay dee...
mkali kwanza arudi studio
jamaa anaitwa q-jay kutoka kwa wakali kwanza na siku si nyingi ameingiza kitu(wife) ndani...so jamaa ameamua ku-drop studio za mj records zilizoko masaki kwa ajili ya ku-record ngoma kwa jina la NAKUBAMBA chini ya prodyuza marco chaliii..so soon unadrop down na mkali kwanza huyooo.
Nas ft. Damian Marley - As We Are (Snippet) | Audio | Rap Basement
Nas ft. Damian Marley - As We Are (Snippet) | Audio | Rap Basement
ebana sorry 4 missing out the massive story from our site...tulikuwa out kwa matengenezo bt tume-back kwa fujo zote wazeeeeya...i think u guyz gonna enjoy coz site imeboreshwa na kuna hot news ambazo soon tutaza kuzidrop..kama niaje cheki na ngoma hiyo hapo ya Nas ft.Damian marley-As we ar....Enjooooy...!
ebana sorry 4 missing out the massive story from our site...tulikuwa out kwa matengenezo bt tume-back kwa fujo zote wazeeeeya...i think u guyz gonna enjoy coz site imeboreshwa na kuna hot news ambazo soon tutaza kuzidrop..kama niaje cheki na ngoma hiyo hapo ya Nas ft.Damian marley-As we ar....Enjooooy...!
Sunday, May 2, 2010
TAIFA STARS YABANWA NA AMAVUBI
timu za Tanzania na Rwanda zimetoka sare ya kufungana 1-1 katika mchezo wa kutafuta nafasi ya kushiriki katika mashindano ya CHAN
AY na FA waachia ngoma nyingine
wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Hamisi mwinjuma(FA) na Ambwene Yessaya(Ay) wameachia ngoma inayokwenda kwa jina la usije mjini..wame record kwa hermy B chini ya studio ya B.hitz record..so kama ni fans unaweza kutega sikio ili uipate ngoma hiyo..
ROCK CITY IS ROOOOCKING
jijini mwanza a.k.a rock city abapo panasemekana kuwa ni miongoni mwa miji misafi zaidi nchini Tanzania...kama haujawahi kufika fanya mpango ufike uone fahari ya nci yako.
dondoka langa mtaani
Langa kileo ni mwanamuziki wa HIPHOP bongo na moja kati ya wasanii wa kiukweli..ana masongi kibao mtaani na sasa anakimbiza na song la gangster abalo liko hot vide-deadly,,soon amedondoka na song linalokwenda kwa jina la pesa akimpa shavu bi-dada jay dee..na sasa amendondoka na album mtaani chini ya label yake ya kitaa entertainment..!
flowers wa kibongo ni wa ukweli
mwanadafada huyu ni mmoja kati ya contestant wa miss universe 2010.so would ever thought of having beautifully ladies in our country like that one...thanks God...!!
rooney awahidi mema mashabiki wa manchester utd
wayne rooneyambave ni mshambuliaji machachari katika timu ya manchester utd,amepata tuzo ya mchezaji bora wa kulipwa msimu huu,hii ni baada ya kufunga magoli 34 hadi sasa katika mechi za kimashindano,amewahidi mashabiki wa man utd na England mambo mazuri zaidi
Na katika mechi ya leo dhidi ya sunderland anatarajia kurudi uwanjani pamoja na beki Rio ferdinand.
Na katika mechi ya leo dhidi ya sunderland anatarajia kurudi uwanjani pamoja na beki Rio ferdinand.
Saturday, May 1, 2010
unaikumbuka hii historia ya mashetani wekundu
J.martins awapoteza vibaya rock city
huyu ni j martins akipiga show katika ukumbi wa kisasa kabisa jijini mwanza unaitwa villa park..alisindikizwa na AY.
kanumba iz hot jo!
huyu jamaa kiukweli anaweza kufanya kila aina ya film,ni mmoja kati ya wana-mapinduzi wa film industry in bongo..ameigiza katika mlolongo mreru wa movie ambazo zimempa umaarufu nje na ndani ya nchi...hey bra kiukweli nakupa salute uendelee kutupa mavitu kama hayo...muchwweeeeena..!!
Dondoka na album ya buster rhymes
Hebu dondoka na album ya mwana HIPHOP buster rhymes inayokwenda kwa jina la back on my bussiness ambayo inapatikana katika sehemu zote zinazouza album,ni kali na tamu saaana so if u live in HIHOP u ll' truelly find it guyz...!
The stone club yafungwa
klabu ambayo ni moja kati ya zinazokimbiza jijini mwanza ya the stone club imefungwa kwa muda usiojulikana kwa marekebisho ya kuboresha club hiyo...so wajanja wa town waliopo katika jiji la mwanza tucheki na night club zingine wakati tukisubiri The stone club ireeje...!
hiki ni kitu cha fainali za world cup
huu ni uwanja wa coca cola uliojengwa kwa msaada wa kampuni ya vinywaji baridi,uwanja huu umejengwa kiasilia zaidi ni mfano wa chungu na upo katika jiji la johannesburg..utatumika kwa mechi za fainali na mechi ya ufunguzi tuu...kama vp tujichange ili nasi tupande pipa hadi kwa madiba kucheki world cup..!
Subscribe to:
Posts (Atom)