mwanamuziki dully sykes amefuata mkumbo wa wasani kibao ambao nao walitangaza kutoshiriki kabisa katika tuzo za kilimanjaro music awards zinazotarajiwa kufanyika mwezi wa 5 mwaka huu.
hayo ameyasema alipokuwa akizungumza na kituo cha redio cha jijini Dar es saalam,,,so bra watz ur plan for the other awards that u have been elected as a nominee...?
No comments:
Post a Comment