Friday, April 30, 2010
barca yahaha kuitoa inter milan
mchezo uliomalizika kwa sare ya 1-0 kwa barcelona kushinda katika uwanja wake wa nyumbani wa nou-camp umetosha kumvusha jose mourinho na kikosi chake hadi hatua ya fainali watakapocheza na fc bayern munchen ya ujerumani hiyo ni baada ya mechi ya awali inter milin kushinda kwa mabao 3-0 katika uwanja wa giussepe meazza..!
Beckham kupewa lyrics na Snoop doggy
yule mkali wa mashairi katika muziki aina ya gangstar HIPHOP ameamua kumpa shavu nene kijana ambaye anasukuma ndinga katika timu ya Los angeles galaxy lakini sasa yuko kwa mkopo katika timu ya Ac millan ya italia David Beckham kwa kumwambia atamsaidia kutunga mashairi pale ambapo Becks atahitaji kuanza kutunga mashairi..snoop ameyasema hayo wakati wakitengeneza tangazo la adidas...
Subscribe to:
Posts (Atom)