Robin Van Persie
Shinji Kagawa
Kocha wa timu ya manchester united, Sir Alex Ferguson amesema kuwa wachezaji shinji kagawa na robin van persie ambao walikuwa majeruhi wakiwa wanawakilisha mataifa yao katika michuano ya kufuzu kwa kombe la dunia 2014 nchini Brazil,wako tayari kuwavaa Wigan athletic hapo kesho katika mtanange wa ligi kuu ya England...
Shinji Kagawa
Kocha wa timu ya manchester united, Sir Alex Ferguson amesema kuwa wachezaji shinji kagawa na robin van persie ambao walikuwa majeruhi wakiwa wanawakilisha mataifa yao katika michuano ya kufuzu kwa kombe la dunia 2014 nchini Brazil,wako tayari kuwavaa Wigan athletic hapo kesho katika mtanange wa ligi kuu ya England...
No comments:
Post a Comment