Saturday, May 1, 2010

The stone club yafungwa

klabu ambayo ni moja kati ya zinazokimbiza jijini mwanza ya the stone club imefungwa kwa muda usiojulikana kwa marekebisho ya kuboresha club hiyo...so wajanja wa town waliopo katika jiji la mwanza tucheki na night club zingine wakati tukisubiri The stone club ireeje...!

No comments: