Sunday, May 2, 2010

AY na FA waachia ngoma nyingine

wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Hamisi mwinjuma(FA) na Ambwene Yessaya(Ay) wameachia ngoma inayokwenda kwa jina la usije mjini..wame record kwa hermy B chini ya studio ya B.hitz record..so kama ni fans unaweza kutega sikio ili uipate ngoma hiyo..

No comments: