huyu jamaa kiukweli anaweza kufanya kila aina ya film,ni mmoja kati ya wana-mapinduzi wa film industry in bongo..ameigiza katika mlolongo mreru wa movie ambazo zimempa umaarufu nje na ndani ya nchi...hey bra kiukweli nakupa salute uendelee kutupa mavitu kama hayo...muchwweeeeena..!!
No comments:
Post a Comment