Saturday, May 1, 2010

kanumba iz hot jo!

huyu jamaa kiukweli anaweza kufanya kila aina ya film,ni mmoja kati  ya wana-mapinduzi wa film industry in bongo..ameigiza katika  mlolongo mreru wa movie ambazo zimempa umaarufu nje na ndani ya nchi...hey bra kiukweli nakupa salute uendelee kutupa mavitu kama hayo...muchwweeeeena..!!

No comments: