Sunday, May 2, 2010

dondoka langa mtaani

Langa kileo ni mwanamuziki wa HIPHOP bongo na moja kati ya wasanii wa kiukweli..ana masongi kibao mtaani na sasa anakimbiza na song la gangster abalo liko hot vide-deadly,,soon amedondoka na song linalokwenda kwa jina la pesa akimpa shavu bi-dada jay dee..na sasa amendondoka na album mtaani chini ya label yake ya kitaa entertainment..!

No comments: