Friday, April 30, 2010

barca yahaha kuitoa inter milan

mchezo uliomalizika kwa sare ya 1-0 kwa barcelona kushinda katika uwanja wake wa nyumbani wa nou-camp umetosha kumvusha jose mourinho na kikosi chake hadi hatua ya fainali watakapocheza na fc bayern munchen ya ujerumani hiyo ni baada ya mechi ya awali inter milin kushinda kwa mabao 3-0 katika  uwanja wa giussepe meazza..!

No comments: