Friday, April 30, 2010

ebana wabongo sasa hivi ni kama mbeleeeee...,.i mean mtoni kwa mjomba obama,yaani watu wana ji-burst na ma-tatto kila kona ya mwili as u can see hawa jamaa ni wa-tanzania waliojichora tatoo katika sehemu mbalimbali za miili yao..kama ndizo swagga zenyewe mpango mzima ni full wazeeeeeya..!

No comments: