WAJANJA WA TOWN LINK
A Nexxt Big Step Ahead!
Wednesday, October 20, 2010
MR 2 APOTEZA VIBAYA MBEYA
Mgombea ubunge jimbo la mbeya mjini kwa tiketi ya chadema,Joseph Mbilinyi a.k.a mr 2 amefanya mkutano wake wa kampeni katika soko la mwanjelwa na kukusanya umati mkubwa wa watu....jamaa ameonekana kupendeka na idadi kubwa ya wananchi wa mbeya mjini.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment