WAJANJA WA TOWN LINK
A Nexxt Big Step Ahead!
Saturday, November 6, 2010
SUGU MPANGO MZIMA PALE MJENGONI
joseph mbilinyi a.k.a mr 2,,sugu amechaguliwa na wananchi wa jimbo la mbeya mjini kuwa mbunge wa jimbo hilo kwa kipindi cha miaka 5 ijayo...jamaa kawataka wana mbeya kuwa kitu kimoja katika kuleta maendeleo jijini mbeya,, hongera SUGU..
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment