Wednesday, April 14, 2010

mashetani wekunduuu wamekaa..!!

ebana mashabiki wenzangu wa MANCHESTER UNITED    poleni saana kwani STILL we are the champs....so far tumetolewa lakini tumelazimishwa kutoka na vibonde bayern munchen...msimu ujao ni wa moto kwa ma-haters wooote....& man utd fans dont give up bana...together we win.

No comments: