Wednesday, April 14, 2010

BOB MARLEY DAY INAJONGEA...!


ile siku ambayo inasubiriwa kwa hamu kubwa katika kumuenzi yule REGGAE LEGENDS inawadia..marasta na wale mashabiki wake wana desturi ya kumuenzi BOB NESTA MARLEY kila wanapokumbuka tyme yake ya kufa..so let's roll together katika siku hiyo bana.

No comments: