MJANJA WA TOWN

Saturday, November 6, 2010

SUGU MPANGO MZIMA PALE MJENGONI

joseph mbilinyi a.k.a mr 2,,sugu amechaguliwa na wananchi wa jimbo la mbeya mjini kuwa mbunge wa jimbo hilo kwa kipindi cha miaka 5 ijayo...jamaa kawataka wana mbeya kuwa kitu kimoja katika kuleta maendeleo jijini mbeya,, hongera SUGU..

No comments:

Post a Comment

ENTER YOUR COMMENTS HERE..